Thursday, September 26, 2013

Konseli Mkuu wa China awasilisha Hati za Uwakilishi


Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akimkaribisha Bw. Xie Yunliang, Konseli Mkuu (Consul General) wa Jamhuri ya Watu wa China kule Zanzibar. 

Mhe. Maalim akisoma Hati za Uwakilishi wa Konseli (Exequatur) baada Konseli Mkuu Xie Yunliang kuziwasilisha.

Konseli Mkuu XieYunliang akiongea na Mhe. Naibu Waziri Maalim.

Kikao kikiendelea.


Picha na Reginald Phillip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.