Thursday, April 10, 2014

Viongozi wa CCM Tawi la DMV, Marekani wasalimiana na Mhe. Membe

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) (hawapo pichani), Tawi la DMV, Marekani waliofika kumsalimia katika Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. Mhe. Membe alikuwa nchini humo kwa ajili ya kupokea Tuzo kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.

Mwenyekiti wa CCM, Tawi la DMV, Bw. George Sebo akitoa salamu za wanachama kwa Mhe. Membe (hayupo pichani)
Mhe.Membe na wajumbe wengine waliokuwepo kwenye mkutano huo wakimsikiliza Bw. Sebo.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Tawi la DMV Bi. Salma Moshi nae akieleza jambo wakati wa mkutano wao na Mhe. Membe (hayupo pichani)
Picha ya pamoja


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.