Thursday, April 10, 2014

Waziri Bernard Membe aongelea swala la Uraia Pacha Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe (Mb) akiongoza mazungumzo ya Raia Pacha alipokuwa akiongea na Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bw. Idd Sandaly na katibu wake Amosi Cherehani ( Hawapo pichani) wakiwemo baadhi ya Maafisa Ubalozi na wanaDMV kwenye Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani siku ya Jumanne April,2014 alipo karibishwa chakula cha jioni Ubalozini hapo huku Naibu Spika Mhe. Job Ndungai akiongezea mawili matatu 

Waziri Membe akiongelea swala la Uraia Pacha kulia ni Naibu Spika Job Ndungai akifuatilia mazungumzo hayo

Kushoto ni Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Rais Idd Sandaly na Mhe. Balozi Liberata Mulamula wakifuatilia mazungumzo

Kikao kikiendelea

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.