Thursday, April 10, 2014

Waziri Membe akutana na wafanyakazi wa Ubalozi Tanzania nchini Marekani


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard K. Membe (Mb) akikaribishwa na balozi wa Tanzania nchin Marekani Balozi Mulamula. Membe yupo Marekani mjini washington DC, ambako atapokea Tuzo ya Africa's Most Impactful Leader of the Year kwaniaba ya Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mindi Kasiga afisa Ubalozi wa Washington DC akiongea machache kuhusu ujio wa Mhe.Bernard Membe kabla ya Balozi ya Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberatta Mulamula kumtambulisha kwa wageni waalikwa walio jumuika na Waziri Bernard Membe kwenye chakula cha jioni na baadae kuongea Mhe. Membe kuongea machache na ujio wa safari yake

Waziri Bernard  Membe akisalimiana na Rais wa Jumuiya ya watanzaniaDMV Rais Idd Sandaly

Waziri Membe akimtambulisha naibu spika Job Ndungai kwa maafisa wa Ubalozi wa Washington DC

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndungai akisalimiana na Bwana Mulamula
Picha ya Pamoja



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.