Friday, March 3, 2017

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Palestina nchini

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt.Susan Kolimba amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Palestina hapa nchini Mhe.Hazem Shabat. Mazungumzo yao yalijikita katika kuimarisha mahusiano baina ya Tanzania na Palestina katika sekta mbalimbali.
Sehemu ya Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakifuatilia mazungumzo kati ya Dkt. Kolimba na Balozi wa Palestina (hawapo pichani).Kutoka kushoto ni Bw. Hangi Mgaka, Bw. Charles Faini na  Bi. KisaDoris Mwaseba.
Mazungumzo yakiendelea.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.