Wednesday, March 22, 2017

Waziri Mahiga apokea Nakala za Hati za Utambulisho za Mabalozi Wateule

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Mauritius nchini, Mhe. Jean Pierre Jhumun mwenye makazi yake Maputo, Msumbiji.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Nepal nchini, Mhe. Amrit Rai mwenye makazi yake Pretoria, Afrika Kusini.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Ecuador nchini, Mhe. Benys Toscano Amores mwenye makazi yake Addis Ababa, Ethiopia.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Congo Brazaville nchini, Mhe. Guy Nestor Itoua mwenye makazi yake Kigali, Rwanda.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa New Zealand nchini, Mhe. Michael Gerrard Burrel mwenye makazi yake Pretoria, Afrika Kusini.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.