Sunday, November 24, 2019

BARUA HII IPUUZWE

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kuutaarifu Umma wa Watanzania kuwa barua hii inayosambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii inayodaiwa kutoka kwa Bw. Steyn kutelekezwa kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof.Palamagamba John Kabudi (Mb) si ya kweli na anuani zilizotumiwa hazitumiwi na Wizara wala Wizara hivyo jamii IIPUUZE barua hiyo.
Taarifa zote rasmi zitatolewa kupitia mitandao rasmi ya Wizara na vyombo mbalimbali vya habari.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.