Friday, November 8, 2019

DKT. NDUMBARO AKUTANA NA KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WA JAMHURI YA KIDEMOKRASIA YA ALGERIA


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika  Mashariki, Dkt. Damas Ndumbaro akizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria, Balozi Rachid Bladehane

Katika mazungumzo hayo Dkt. Ndumbaro wamekubaliana kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Algeria hususan katika masuala ya Biashara na Uwekezaji. Wamekubaliana kuendeleza ushirikiano baina ya nchi hizo kwa kufanya nmkutano wa Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano (JPC) hivi karibu ili kupitia na kuangalia maeneo ya ushirikiano yenye manufaa kwa nchi





No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.