Friday, February 9, 2024

RAIS WA POLAND APOKELEWA RASMI IKULU

 

 

 

 

 

Rais wa Jamhuri ya Poland Mhe. Andrzej Duda akisalimiana na mwenyeji wake Rais Dkt. Samia Suluhu Hassa alipowasili Ikulu jijini Dar es Salaam na kupokelewa rasmi 

 Mhe. Rais Duda alipowasili Ikulu jijini Dar es Salaam na kupokelewa na mwenyeji wake  Rais Samia Suluhu Hassan
 

Mheshimiwa Rais Andrzej Duda wa Poland akikagua gwaride la heshima katika hafla ya kumkaribisha Tanzania iliyofanywa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania,  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 9 Februari, 2024.

Mheshimiwa Rais Andrzej Duda wa Poland akikagua gwaride la heshima katika hafla ya kumkaribisha Tanzania iliyofanywa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania,  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 9 Februari, 2024.

Mheshimiwa Rais Andrzej Duda wa Poland akikagua gwaride la heshima katika hafla ya kumkaribisha Tanzania iliyofanywa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania,  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 9 Februari, 2024.

Rais wa Jamhuri ya Poland Mhe. Andrzej Duda akipokea salamu za heshima na mwenyeji wake Rais Dkt. Samia Suluhu Hassa alipowasili Ikulu jijini Dar es Salaam na kupokelewa rasmi 

 
Baadhi ya viongozi mbalimbali wa serikali waliposhiriki mapokezi rasmi ya Rais wa Jamhuri ya Poland Mhe. Andrzej Duda aalipowasili Ikulu jijini Dar es Salaam na kupokelewa rasmi 

Rais wa Jamhuri ya Poland, Mheshimiwa Andrzej Duda amepokelewa rasmi Ikulu, jijini Dar es Salaam na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania,  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Alipowasili Ikulu Mhe. Rais Duda alipigiwa mizinga 21 na kukagua gwaride  lililoandaliwa maalum kwa heshima yake  kuungana na Mhe. Rais Samia katika mazungumzo ya  faragha
 

Mhe. Rais Duda yuko nchini kwa Ziara ya Kitaifa ya siku mbili na kuwa Rais wa kwanza wa Poland kufanya ziara ya Kitaifa Tanzania

 



No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.