Thursday, February 8, 2024

WAZIRI MAKAMBA AKUTANA NA KATIBU WA NEC SIASA NA UHUSIANO WA KIMATAIFA WA CCM

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. January Makamba (Mb.) amekutana kwa mazungumzo na Katibu wa NEC Siasa na uhusiano wa kimataifa (SUKI), Ndugu Rabia Abdallah Hamid katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.

Lengo la kikao cha viongozi hao ni kuangalia jinsi ambavyo Wizara inavyotekeleza Diplomasia ya Uchumi na uhusiano wa Kimataifa kupitia Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). 






No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.