|
Monday, February 1, 2016
Thursday, January 28, 2016
Naibu Katibu Mkuu akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Comoro nchini
Balozi Fakih naye akimwelezea jambo Balozi Muombwa (Kulia) wakati wa mazungumzo yao. |
Picha na Reginald Philip
Wednesday, January 27, 2016
India marks 67th years of Independence
Permanent Secretary (R) and Indian High Commissioner toasting for the progress and prosperity of their Nations. |
Indian High Commissioner (L) receives invited guests at the ceremonies hall. |
Permanent Secretary, Dr. Mlima (R) chats with ambassadors prior to the official opening of an event. |
Tuesday, January 26, 2016
Dkt. Mlima akutana na Katibu Mkuu wa EAC
Katibu Mkuu wa Sekretariati ya Jumuiya
ya Afrika Mashariki Dkt. Richard Sezibera (kushoto) akutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Dkt. Aziz P. Mlima. Dkt. Sezibera alikutana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje kwa madhumuni ya kusalimia pamoja na kutoa taarifa fupi ya masuala mbalimbali yanayoendelea katika Jumuiya.
Kutoka kushoto ni Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje ambao ni Mkurugenzi wa Siasa, Ulinzi na Usalama, Bw. Stephen Mbundi; Mhandisi John Kiswaga; Bw. Amos Tengu na Bw. Antony Ishengoma wakifuatilia mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea.
Kutoka kushoto ni Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje ambao ni Mkurugenzi wa Siasa, Ulinzi na Usalama, Bw. Stephen Mbundi; Mhandisi John Kiswaga; Bw. Amos Tengu na Bw. Antony Ishengoma wakifuatilia mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea.
Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana na Kaimu Mkurugenzi wa TAKUKURU
Nafasi za Kazi UNEP.
Job Openings
Applications from women candidates are strongly encouraged.
The United Nations does not charge a fee at any stage of the recruitment process (application, interview meeting, processing, training or any other fees). The United Nations does not concern itself with information on bank accounts.
Job Title | Level | Job ID | Job Network | Job Family | Department/Office | Duty station | Deadline |
---|---|---|---|---|---|---|---|
ADMINISTRATIVE OFFICER | P-3 | 52332 | Management and Administration | Administration | United Nations Environment Programme | COPENHAGEN | 24/03/2016 |
SENIOR PROGRAMME MANAGEMENT OFFICER | P-5 | 50054 | Economic, Social and Development | Programme Management | United Nations Environment Programme | GENEVA | 20/03/2016 |
SENIOR PROGRAMME MANAGEMENT OFFICER | P-5 | 52647 | Economic, Social and Development | Programme Management | United Nations Environment Programme | NAIROBI | 12/03/2016 |
Associate Programme Management Officer (Marine: Project Post), | P-2 | 52040 | Economic, Social and Development | Programme Management | United Nations Environment Programme | ABU DHABI | 19/02/2016 |
Programme Management Officer | P-3 | 48410 | Economic, Social and Development | Programme Management | United Nations Environment Programme | NAIROBI | 14/02/2016 |
SENIOR PROGRAMME MANAGEMENT OFFICER | P-5 | 49433 | Economic, Social and Development | Programme Management | United Nations Environment Programme | NAIROBI | 11/02/2016 |
SENIOR COORDINATION OFFICER (Project Post) | P-5 | 50630 | Economic, Social and Development | Programme Management | United Nations Environment Programme | TOYAMA | 10/02/2016 |
DEPUTY COORDINATOR, Mediterranean Action Plan | P-5 | 50553 | Economic, Social and Development | Programme Management | United Nations Environment Programme | ATHENS | 07/02/2016 |
SENIOR ADMINISTRATIVE OFFICER | P-5 | 50105 | Management and Administration | Administration | United Nations Environment Programme | NAIROBI | 07/02/2016 |
SPECIAL ASSISTANT, ADMINISTRATION [Cancelled] | P-3 | 49435 | Management and Administration | Administration | United Nations Environment Programme | NAIROBI | 05/02/2016 |
Dr. Mlima Meets Assistant Secretary General of the United Nations
UN Resident Coordinator and UNDP Representative in Tanzania, Mr. Alvaro Rodriguez (R) with his colleague in the office also attended the discussions.
Photos by Reginald Philip
|
Friday, January 22, 2016
Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana kwa mazungumzo na Balozi wa New Zealand nchini
Mkutano ukiendelea kati ya Balozi Mlima (katikati) na Balozi Mann huku Bw. Khatibu Makenga (kulia), Afisa Mambo ya Nje akifuatilia
Picha na Reginald Philip
|
Balozi Haule akutana na Balozi wa Hungary.
Balozi
wa Tanzania nchini Kenya, Mhe. John Michael Haule akikabidhi zawadi kutoka Tanzania kwa Balozi wa Hungary nchini mwenye makazi yake Nairobi, Mhe. Laszlo Mathe mara baada ya kukutana kwa mazungumzo Jijini Nairobi. Serikali ya Hungary imetoa
nafasi 30 za masomo kwa Tanzania kwa miaka mitatu kuanzia mwaka huu.
Wawakilishi hao wa Nchi pia walizungumzia ushirikiano wa kiuchumi, ambapo
Hungary imeahidi kushawishi wawekezaji kuanzisha miradi ya ubia ya
viwanda itakayolenga uhamishaji wa teknolojia kwa Tanzania
Subscribe to:
Posts (Atom)