Monday, May 23, 2016

Balozi wa Kuwait atembelea Wizara ya Mambo ya Nje.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhani Muombwa Mwinyi (kulia) akimkaribisha Balozi wa Kuwait nchini, Mhe. Jasem Alnajem alipomtembelea Ofisini kwake na kufanya mazungumzo yaliyojikita katika kukuza Mahusiano kati ya Tanzania na Kuwait katika sekta ya Elimu na Uchumi. 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.