Tuesday, May 24, 2016

Wanafunzi kutoka Chuo cha Kijeshi cha India watembelea Wizara ya Mambo ya Nje

      Afisa Mwandamizi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Emmanuel Luangisa akiongoea na wanafunzi kutoka Chuo cha Ukamanda na Unadhimu wa Jeshi nchini India (hawapo pichani) ambao jana walitembelea katika Ofisi za Wizara Jijini Dare es Salaam  kwa lengo la kujifunza masuala mbalimbali kuhusu Sera ya Mambo ya Nje. Kushoto ni Mkuu wa Jeshi la Maji nchini India, Admiral D. M. Sudan.Wanajeshi hao watakuwa na ziara ya siku tano nchini Tanzania ambayo inatarajiwa kukamilika tarehe 26 Mei, 2016.
Sehemu ya wanajeshi wakifuatilia na kuchangia mazungumzo

 Sehemu nyingine ya wanajeshi hao wakifuatilia taarifa iliyokuwa ikiwasilishwa na Bw. Luangisa

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.