Tuesday, May 24, 2016

Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia akutana na Balozi wa China nchini

Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbelwa Kairuki akizungumza na Balozi wa China nchini Mhe. Lu Youqing, alipomtembelea leo katika ofisi za Wizara na kuzungumza naye juu ya kuendelea kuimrisha ushirikiano ili kukuza fursa za kiuchumi zilizopo hususan katika kuboresha miundombinu na kuiwezesha Tanzania kuwa nchi ya viwanda sambamba na kuinua maisha ya wananchi
Maafisa kutoka Ubalozi wa China walioambatana na Mhe. Lu Youqing wakifuatilia mazungumzo
Mhe. Lu Youqing akijadili jambo na Balozi Kairuki mara baada ya mazungumzo
Mazungumzo yakiendelea

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.