Friday, May 6, 2016

Mkurugenzi wa Ushirikiano wa Kimataifa akutana na Mjumbe Maalum kutoka Thailand

Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimaaifa, Balozi Celestine Mushy (kushoto) akimkaribisha Mjumbe Maalum kutoka  nchini Thailand, Mhe. Kobsak Chutikul alipokuja Wizarani kuwasilisha ujumbe maalum kutoka Serikali ya Thailand kuhusu masuala ya ushirikiano wa kimataifa.
Mhe. Kobsak Chutikul akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kukaribishwa Wizarani
Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akizungumza na Ujumbe kutoka nchini Thailand (haupo pichani). Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Bi. Mindi Kasiga.
Mhe. Kobsak Chutikul naye akizungumza na kuwasilisha ujumbe
Mazungumzo yakiendelea
Mhe. Chutikul (wa pili kutoka kushoto), Balozi Mushy (wa tatu kutoka kulia) wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza mazungumzo


Picha na Reginald Philip

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.