Wednesday, May 11, 2016

Balozi wa Tanzania nchini Kenya akutana na Balozi Austria nchini Tanzania

Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Mhe. John Haule amefanya mazungumzo na Balozi wa Austria nchini Tanzania mwenye makazi yake Kenya, Mhe. Dkt. Harald Gunther kuhusu umarishaji wa ushirikiano baina ya nchi zao . Mazungumzo hayo yaliyofanyika Ubalozi wa Tanzania Nairobi. Mazungumzo yalihusu pia masuala ya uwakilishi.
Austria ni mwanachama wa Kamati ya Ufadhili wa Maendeleo (DAC),ambayo inajumuisha nchi za Jumuiya ya Ulaya, Marekani, Japan na Australia.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.