Thursday, May 17, 2018

Balozi Shiyo afunga mafunzo ya mfumo wa Ufuatiliaji na Taathmini wa SADC

Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda, Balozi Innocent E. Shiyo (Katikati) akifunga  Warsha ya siku tatu(3) ya Mafunzo ya Mfumo wa Ufuatialiaji na Tathmini wa SADC (SADC Results Based Online Monitoring and Evaluation System), mmoja wa Wakufunzi wa Warsha hiyo kutoka SADC Bi. Lerato Moleko(kulia) na wa mwisho  kushoto ni Bw. Meneja Mradi kutoka GIZ Bw. Robson Chakwama. 

 Mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Wizara kwa kushirikiana  na Serikali ya Ujerumani chini ya Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) na Sekretarieti ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), yametolewa kwa Maafisa wa Serikali na Taasisi za Umma, tarehe 15 - 17 Mei,2018 katika ukumbi wa Mikutano wa  Mwalimu Nyerere, Jijini Dar es Salaam.
 Hafla hiyo ikiendelea
 Sehemu ya Maafisa kutoka Wizarani wakifuatilia hafla ya kufunga mafunzo hayo
 Sehemu ya Washiriki wakifuatilia hafla ya kufunga mafunzo hayo
 Bi. Felister Rugambwa ambaye alikuwa Mshereheshaji wa shughuli hiyo akitoa utaratibu wa shughuli.
Picha ya Pamoja baada ya shughuli hiyo.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.