| Mhe. Maas akiambatana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Amerika na Ulaya Bw. Jestas Nyamanga (mwenye tai ya Njano) mara baada ya kuwasili uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro. |
| Mhe. Maas (kulia) akisalimiana na Afisa mahusiano wa Mahakama ya Kesi ya Masalaia za Mauaji ya Kimbari Bw. Ousman Njikam, mara baada ya kuwasili katika mahakama hiyo. |
| Bw. Njikam akimtambulisha Msajili Mkuu wa Mahakama ya Kesi ya Masalaia za Mauaji ya Kimbari (United Nations Mechanism for International Criminal Tribiunals-MICT) Bi. Sera Attika kwa Waziri Haeko Maas |
| Waziri Maas. akiweka saini kwenye kitabu cha wageni kilichoandaliwa kwenye mahakama hiyo. |
| Bi. Attika akimwelezea jambo Mhe. Maas |
| Waziri Haeko Maas, pamoja na Bw. Nyamanga wakiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Mahakama ya Kesi ya Masalaia za Mauaji ya Kimbari. |
| Waziri Haeko Maasi akisalimiana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt Libérat Mfumukeko walipokutana na kufanya mazungumzo. |
| Mhe. Haeko Maas akizungumza na Majaji wa mahakama hiyo (hawapo pichani) |
| Sehemu ya Majaji wa Mahakama hiyo wakimsikiliza kwa makini Mhe. Maas (hayupo pichani) |
| Mkurugenzi wa Idara ya Amerika na Ulaya Bw. Jestas Nyamanga akifuatilia kwa mikini mazungumzo hayo kati ya Jaji Sylvain Ore (hawapo pichani) |
| Jaji Ore akimkabidhi Mhe. Maas zawadi ya Nembo ya Mahakama hiyo mara baada ya kumaliza mazungumzo yao. |
| Waziri Haeko Maasi pamoja na Jaji Sylvain Ore wakiwa katika picha ya pamoja na majaji wa mahakama pia na ujumbe ulioambatana na Mhe. Maas. |
| ||
| Mhe. Maas pamoja na Dkt. Mfumukeko wakiwa kwenye mazungumzo |
| Mazungumzo yakiendelea. |
| Dkt Libérat Mfumukeko (wa nne kutoka kulia), Waziri Haeko Maas (watatu kutoka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja |

No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.