Tuesday, May 8, 2018

Balozi Mushy akutana na Mabalozi kutoka nchi zinazounda kundi la Unitedfor Consensus


       
     
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy(kulia) akisisitiza jambo kwa Balozi wa Italy Nchini Mhe. Roberto Mengoni(kushoto), kwenye mazungumzo na Mabalozi wa Nchi zinazounda kundi linaloitwa United for Consensus ambazo zinakaa na kujadiliana kwa pamoja kuhusu mabadiliko yanayotakiwa kufanyika katika Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa  ( UN Security Council), walipotembelea Wizarani, tarehe 08 Mei,2018, Dar es Salaam.

Mabalozi kutoka Nchi zinazounda kundi linaloitwa United for Consensus wakifuatilia mazungumzo hayo kutoka kulia ni Balozi wa Pakistan nchini, Mhe. Amir Mohamed Khan, balozi wa Hispania nchini, Mhe. Felix Costales, Balozi wa Canada nchini, Mhe. Alexander Leveque, Balozi wa Korea Kusini nchini, Mhe. Song Geum Yong na Mwisho ni Balozi wa Uturuki nchini, Mhe. Ali Davutaglu.
Mhe. Roberto Mengoni akifafanua jambo kwenye mazungumzo hayo.
Mkutano ukiendelea.
Picha ya pamoja baada ya mazungumzo.




No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.