Wednesday, May 9, 2018

Katibu Mkuu akutana kwa mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Adolf Mkenda akizungumza na Kaimu Balozi wa Marekani nchini, Bi. Inmi Patterson alipofika Wizarani kwa ajili ya mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani.
Mazungumzo yakiendelea

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.