Friday, May 4, 2018

Waziri Maas ahitimisha ziara ya siku mbili nchini Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Mhe. Heiko Maas akiingia kwenye Ndege aliyokuja nayo tayari kwa kuanza safari ya kurejea nchini Ujerumani mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili nchini.
Waziri Maas akiagana na Afisa Mambo ya Nje Bi. Lilian Kimaro, anayeshughulikia dawati la nchi hiyo.
Waziri Haeko Maas akiwa katika picha ya pamoja na maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje.
Watumishi wa Ubalozi wa Ujerumani nchini Tanzania wakiongozwa na Balozi wao wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Idara ya Amerika na Ulaya Bw. Jestas Nyamanga(wa kwanza kulia) pamoja na maafisa Mambo ya Nje Bi. Lilian Kimaro na Bw. Lucas Mayenga mara baada ya kuagana na Waziri Maas.




No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.