Thursday, May 17, 2018

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika akutana na Balozi wa Italia nchini

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Jestas Nyamanga akizungumza na Balozi wa Italia nchini, Mhe. Roberto Mengoni alipofika Wizarani kwa mazungumzo kuhusu ushirikiano baina ya Tanzania na Italia.
 Bi. Tunsume Mwangolombe, Afisa Mambo ya Nje akinukuu mazungumzo kati ya Bw. Nyamanga na Balozi Mengoni(hawapo pichani)

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.