Friday, May 4, 2018

Waziri Mahiga afungua Baraza la Wafanyakazi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akizungumza wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam tarehe 04 Mei, 2018
Sehemu ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wakimsikiliza Mhe. Waziri Mahiga (hayupo pichani).
Sehemu nyingine ya Wajumbe wa Baraza nao wakifuatilia hotuba ya Mhe. Waziri Mahiga ambaye hayupo pichani
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Susan Kolimba nae akitoa mchango wake kwa Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Wajumbe wa Baraza wakifuatilia hotuba ya Naibu Waziri (hayupo pichani)
Sehemu ya Wajumbe wa Baraza wakiwa kwenye mkutano
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Adolf Mkenda nae akisisitiza jambo kwa Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (hawapo pichani)
Wajumbe wakimsikiliza Prof. Mkenda (hayupo pichani)
Wajumbe wengine nao wakiwa makini kufuatilia hatuba ya Prof. Mkenda (hayupo pichani)
Mhe. Waziri Mahiga akimzawadia Mfanyakazi Hodari wa Wizara, Bw. Juma Kigwa wakati wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Bw. Kigwa aliibuka mshindi wa jumla wa Wizara kati ya wafanyakazi bora waliochaguliwa kutoka katika kila Idara na Vitengo.
Mhe. Waziri Mahiga akimkabidhi cheti Bibi Lilian Mushi ambaye ni mfanyakazi bora kutoka Ofisi ya Masjala
Mhe. Waziri Mahiga akimkabidhi cheti Bw. Erick Ngilangwa ambaye ni mfanyakazi bora kutoka Idara ya Afrika

Mhe. Waziri Mahiga akimkabidhi cheti Bw. Suleiman Magoma ambaye ni mfanyakazi bora kutoka Idara ya Diaspora
Mhe. Waziri Mahiga akimkabidhi cheti Bw. Hangi Mgaka ambaye ni mfanyakazi bora kutoka Idara ya Mashariki ya Kati
Meza kuu
 Mhe. Waziri, Mhe. Naibu Waziri, Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi.
 Mhe. Waziri, Mhe. Naibu Waziri, Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja na Mfanyakazi Hodari wa Wizara Bw. Juma Kigwa(wa tatu kutoka kulia)
 Mhe. Waziri, Mhe. Naibu Waziri, Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Menejimenti ya Wizara.
Mhe. Waziri, Mhe. Naibu Waziri, Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi bora wa Wizara

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.