Wednesday, May 2, 2018

Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje washiriki Sherehe za Mei Mosi

Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakisherehekea Siku ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es  Salaam. Kaulimbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni "Kuunganishwa kwa Mifuko ya Jamii Kulenge Kuboresha Mafao ya Wafanyakazi"


Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiwa kati maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani
Juu na Chini ni Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakionesha furaha yao wakati wa maadhimisho ya siku yao duniani.


Maadhimisho yakiendelea.
Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje wakipita mbele ya Mgeni Rasmi ambaye hayupo pichani.


Juu na Chini Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiwa na nyuso za furaha.




Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuadhimisha siku ya wafanyakazi duniani




No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.