Tuesday, March 3, 2020

BALOZI MBELWA ATOA RAI KWA WAFANYABIASHARA WA TANZANIA

Mhe. Mbelwa Kairuki Balozi wa Tanzania nchini China, ametoa rai kwa wafanyabiashara wa Tanzania ambao shughuli zao zinahushisha China, kuwa na subira ya kuzuru China wakati huu ambao tatizo la Corona Virus (COVID-19) bado linaendelea kushughulikiwa nchini humo.


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.