Wednesday, June 9, 2021

BALOZI MULAMULA AMLAKI WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA NCHINI BOTSWANA


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula akimlaki Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Botswana Mhe. Lemogang Kwape mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere - Dar es Salaam.

Mhe. Lemogang Kwape amewasili Nchini kufuatia ziara ya kikazi ya siku mbili ya Rais wa Jamhuri ya Botswana Mheshimiwa Dkt. Mokgweetsi Eric Keabetswe Masisi anayetarajiwa kuwasili Nchini siku ya Alhamis  Juni 10, 2021
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Botswana  Mhe. Lemogang Kwape baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere - Dar es Salaam

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Botswana  Mhe. Lemogang Kwape baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere - Dar es Salaam

Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Botswana  Mhe. Lemogang Kwape akiwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere - Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.