Tuesday, June 22, 2021

MKUTANO WA SADC WA BARAZA LA MAWAZIRI SADC WAENDELEA MAPUTO - MSUMBIJI


Katibu Mkuu Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Dkt. Stergomena Tax akisalimiana na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Joseph Edward Sokoine(katikati) muda mfupi kabla ya kuanza kikao cha Baraza la Mawaziri wa SADC Mjini Maputo,Msumbiji. Kushoto kwa Balozi Sokoine ni Balozi Grace Martni na kulia ni Balozi Mteule Agnes Kayola 

Katibu Mkuu Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Dkt. Stergomena Tax akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Joseph Edward Sokoine muda mfupi kabla ya kuanza kikao cha Baraza la Mawaziri wa SADC Mjini Maputo,Msumbiji. . Kulia kwa Dkt. Tax ni Balozi Grace Martini na kushoto kwa Balozi Sokine ni Balozi Mteule Agnes Kayola
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Joseph Edward Sokoine akifuatilia mkutano wa Baraza la Mawaziri wa SADC unaoendelea Maputo,Msumbiji . Nyuma ya Balozi Sokoine kulia ni Balozi Grace Martini na kushoto ni Balozi Mteule Agnes Kayola

 Mkutano wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ukiwa unaendelea katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Joachim Chissano Maputo,Nchini Msumbiji

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.