Friday, June 4, 2021

BALOZI MULAMULA ATEMBELEA VYOMBO VYA HABARI VYA IPP

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) ametembelea vyombo vya habari vya Kampuni ya IPP Ltd na kuvipongeza kwa kufanya kazi vizuri.

Balozi Mulamula ametembelea ‘The Guardian Ltd’ inayozalisha magazeti ya The Guardian na Nipashe, Radio One, Capital radio, East Africa radio, ITV, Capital TV pamoja na East Africa TV.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa ITV na Radio One, Joyce Mhavile wakati alipowasili kwa ajili ya kutembelea vyombo vya habari vya IPP


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) akipokelewa na uongozi wa The Guardian Ltd wakati alipokuwa natembelea kampuni hiyo leo Jijini Dar es Salaam


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akisalimiana na Mhariri Mkuu wa Gazeti la Nipashe, bb. Beatrice Bandawe 


Mhariri Mkuu wa Gazeti la Nipashe, Bb. Beatrice Banda akimfafanulia jambo Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula wakati Balozi Mulamula alipotembelea Ofisi za The Guardin Ltd 


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akielea jambo wakati alipokuwa katika studio za East Africa radio jijini Dar es Salaam


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akielea jambo wakati alipokuwa katika studio za East Africa radio jijini Dar es Salaam


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akitambulishwa baadhi ya vipindi vya Capital radio  


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akielezewa jinsi habari na vipindi mbalimbali vinavyotayarishwa katika studio za ITV. Mkurugenzi Mtendaji wa ITV na Radio One, Joyce Mhavile


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula akiwa studio za ITV 




No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.