Thursday, June 10, 2021

RAIS WA JAMHURI YA BOTSWANA DKT. MOKGWEETSI ERIC KEABETSWE MASISI AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akimlaki Rais wa Jamhuri ya Botswana Dkt. Mokgweetsi Eric Keabetswe Masisi,wakati akiwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere - Dar es Salaam. Dkt. Masisi yuko Tanzania kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa na Rais wa Botswana Dkt.Mokgweetsi Eric Keabetswe Masisi wakipita katikati ya gwaride lililoandaliwa kwa ajili ya mapokezi ya Mhe. Masisi
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa na Rais wa Botswana Dkt.Mokgweetsi Eric Keabetswe Masisi wakipita katikati ya gwaride lilioandaliwa kwa jailli ya mapokezi ya Mhe. Masisi

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwatambulisha baadhi ya wajumbe wa Tanzania walioambatana nae katika mapokezi ya Rais wa Botswana Dkt.Mokgweetsi Eric Keabetswe Masisi katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nerere - Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.