Monday, May 22, 2023

SERIKALI YAZINDUA RASMI MFUMO WA KIDIGITALI KUSAJILI DIASPORA WENYE ASILI YA TANZANIA

 


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Mashariki, Mhe. Dkt Stergomena Tax (Mb.) akihutubia katika hafla ya uzinduzi rasmi wa mfumo wa kuwasajili Diaspora wenye asili ya Tanzania Kidigitali (Diaspora Digital Hub) Jijini Dar es Salaam  
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Mashariki, Mhe. Dkt Stergomena Tax akizinduzi rasmi mfumo wa kuwasajili Diaspora wenye asili ya Tanzania Kidigitali (Diaspora Digital Hub) Jijini Dar es Salaam. Wengine pichani ni Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Bw. Abdulmajid Nsekela (kulia), Kamishna Jenerali wa Uhamiaji nchini Dkt.Anna Makakala (kushoto) na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge – Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Vita Kawawa (Mb).  
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Samwel Shelukindo akiwasilisha salamu za Wizara kwa Diaspora kabla ya uzinduzi rasmi wa DDH
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Bw. Abdulmajid Nsekela akielezea faida za mfgumo wa kuwasajili Diaspora wenye asili ya Tanzania Kidigitali (Diaspora Digital Hub)
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Bw. Masha Mshomba akieleza faida za Wanadiaspora kuchangia katika mifuko ya hifadhi ya jamii
Mwakilishi wa Mkuregenzi Mkuu wa Benki ya NMB, Bw. Philbert Mponzi akiwaeleza washiriki fursa ambazo Diaspora watazipata kupitia Benki ya NMB watakapo jiunga na mfumo wa DDH 















No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.