Sunday, May 14, 2023

VIONGOZI MBALIMBALI WAMUAGA MHE. MEMBE KARIMJEE

Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki umeungana na waombolezaji wengine kumuaga  aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2007-2015) Mhe. Bernard Membe katika viwanja vya Karimjee Jijini Dar es Salaam.  

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isidor Mpango akisaini kitabu cha maombelezo wakati wa kumuaga aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2007-2015) Ndugu Bernard Membe katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kasim Majaliwa (Mb.) akisaini kitabu cha maombelezo wakati wa kumuaga aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2007-2015) Ndugu Bernard Membe katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano  wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax  (Mb.) akisaini kitabu cha maombelezo wakati wa kumuaga aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2007-2015) Ndugu Bernard Membe katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano  wa Afrika Mashariki Mhe. Mbarouk Nassoro Mbarouk  akisaini kitabu cha maombelezo wakati wa kumuaga aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2007-2015) Ndugu Bernard Membe katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Mawasiliano Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano  wa Afrika Mashariki Balozi Mindi Kasiga  akisaini kitabu cha maombelezo wakati wa kumuaga aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2007-2015) Ndugu Bernard Membe katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Majeshi  mstaafu Jenerali Davis Mwamunyange akisaini kitabu cha maombelezo wakati wa kumuaga aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2007-2015) Ndugu Bernard Membe katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es Salaam.

Balozi wa Ethiopia nchini  Mhe. Yonas Yosef akisaini kitabu cha maombelezo wakati wa kumuaga aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2007-2015) Ndugu Bernard Membe katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es Salaam.

Waombolezaji waliofika kwa ajili ya kumuaga aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2007-2015) Ndugu Bernard Membe katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waombolezaji waliofika kwa ajili ya kumuaga aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2007-2015) Ndugu Bernard Membe katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano  wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax  (Mb.) akisalimiana na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (2021- 2022) wakati wa kumuaga aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2007-2015) Ndugu Bernard Membe katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es Salaam. kulia ni Mkuu wa Majeshi Msataafu Jenerali Davis Mwamunyange.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano  wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Stergomena Tax  (Mb.) akisalimiana na Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Joseph Sinde Warioba wakati wa kumuaga aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2007-2015) Ndugu Bernard Membe katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es Salaam. Kushoto ni naibu Spika wa Bunge Mhe. Mussa Azan Zungu.

Baadhi ya waombolezaji waliofika kwa ajili ya kumuaga aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa (2007-2015) Ndugu Bernard Membe katika viwanja vya Karimjee  jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.