Tuesday, May 30, 2023

BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) akiwasilisha makadirio ya Hotuba ya Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 bungeni Dodoma

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb.) akijibu hoja zilizowasilishwa na baadhi ya wabunge wakati wakichangia Hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 bungeni Dodoma

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Samwel Shelukindo (kushoto) pamoja na Naibu Katibu MKuu wa Wizara hiyo Mhe. Balozi Fatma Rajab wakifuatilia uwasilishwaji wa Hotuba ya Bajeti ya Wizara  kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 bungeni Dodoma

Sehemu ya uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki pamoja na baadhi ya mabalozi na wawakilishi wa mashirika ya kimataifa nchini wakifuatilia uwasilishwaji wa Hotuba ya Bajeti ya Wizara  kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 bungeni Dodoma 

Bunge likiendelea 




 

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.