Saturday, May 13, 2023

SALAAM ZA RAMBIRAMBI

 

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepokea kwa mshtuko, taarifa za kifo cha Mhe. Bernard Kamillius Membe, aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (2007-2015).

Kama Mawaziri wa Mambo ya Nje aliyehudumu Kwa kipindi Kirefu, atakumbukwa kwa mchango wake katika kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia ya Tanzania na Jumuiya ya Kimataifa. 
Wizara inatoa pole za dhati kwa familia na watanzania kwa ujumla kwa kumpoteza Mwanadiplomasia mahiri. 
"Tunaiombea Roho yake ipumzike Kwa Amani"

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.