Thursday, May 11, 2023

TANZANIA YAMTEUA DKT. TULIA KUGOMBEA URAIS UMOJA WA MABUNGE DUNIANI

 




Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) akizungumza na Mabalozi pamoja na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini (Hawapo pichani), wakati alipokuwa akiwaomba kumnadi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Akson ambaye anagombea nafasi ya Urais katika Umoja wa Mabunge Duniani (IPU). Mhe. Tax amezungumza na Mabalozi hao Jijini Dar es Salaam.

Mbunge wa Singida Magharibi ambaye pia ni mbunge wa Bunge la IPU, Mhe. Elibariki Kingu akizungumza na Mabalozi pamoja na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini Jijini Dar es Salaam



Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) akizungumza na Mabalozi pamoja na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini, wakati alipokuwa akiwaomba kumnadi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Akson ambaye anagombea nafasi ya Urais katika Umoja wa Mabunge Duniani (IPU)


Sehemu ya Mabalozi pamoja na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini, wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax alipokuwa akizungumza nao Jijini Dar es Salaam

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax katika picha ya pamoja na Mabalozi na Wawakilishi wa Mashirika ya Kimataifa wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.