Monday, May 22, 2023

TAARIFA KWA DIASPORA WENYE ASILI YA TANZANIA


 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Mhe. Dkt. Stergomena L. Tax (Mb) amezindua rasmi Mfumo wa Kuwasajili Kidigitali Diaspora wote wenye asili ya Tanzania pamoja na wanafunzi wa kitanzania wanaosoma ughaibuni. Usajili huo utaiwezesha Serikali kuwa na kanzidata inayoonesha idadi yao, mahali walipo au ujuzi walionao.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.