Friday, March 18, 2016

Mkurugenzi wa Idara ya Asia azungumza na Balozi wa India nchini

Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Mbelwa Kairuki akizungumza na Balozi wa India nchini, Mhe. Sandeep Arya alipofika Wizarani kwa ajili ya kueleza dhamira ya India ya kuendelea kushirikiana na Tanzania katika miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo Elimu na ile ya upatikanaji wa maji katika Jiji la Dar es Salaam na Zanzibar.
Balozi Arya akichangia jambo wakati wa mazubngumzo yake na Balozi Kairuki
Balozi Kairuki akiagana na Balozi Arya mara baada ya mazungumzo yao.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.