Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi akizungumza na Balozi wa Ireland nchini Mhe. Fionnuala Gilsenan ambaye alimtembelea katika ofisi za Wizara na kuzungumza naye juu ya ushirikiano baina ya nchi hizi mbili hususan katika miradi ya Maendeleo inayohitaji kupewa kipaumbele katika Serikali ya Awamu ya Tano.
Picha ya pamoja.
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.