Tuesday, June 21, 2016

Dkt. Mlima akutana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya India

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Aziz Mlima akiwa katika na mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa India, Mhe. Amar Sinha, Mazungumzo hayo yalijikita katika kuboresha na kukuza mahusiano kati ya Tanzania na India hasa kwenye nyanja ya Viwanda ambayo itazalisha ajira kwa vijana na kukuza biashara baina ya nchi hizo mbili.. 
Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia, Balozi Mbelwa Kairuki (wa kwanza kushoto), na maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje, Bw. Ally Kondo na Bi. Mercy Kitonga wakinukuu mambo muhimu ya mazungumzo hayo.
Sehemu ya Ujumbe ulioambatana na Mhe. Sinha ukifuatilia kwa makini mazungumzo kati ya Dkt. Mlima na Mhe. Amar Sinha. Wa kwanza kulia ni Baloizi wa India nchini Tanzania, Mhe. Sandeep Arya
Mkutano ukiendelea.
Dkt. Aziz Mlima na Mgeni wake, Mhe. Amar Sinha wakiwa katika picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.