
Mtendaji Mkuu wa Makumbusho ya Taifa ya Oman Mhe. Jamal Al-Moosawi akiangalia mabaki ya vitu mbalimbali vilivyohifadhiwa katika makumbusho ya Kaole mjini Bagamoyo

Mhifadhi wa makumbusho katika Makulbusho ya Kaole mjini Bagamoyo akimuelezea Mtendaji
Mkuu wa Makumbusho ya Taifa ya Oman Mhe. Jamal Al-Moosawi historia ya vitu vivyohifadhiwa katika Makumbusho hiyo

Mtendaji Mkuu wa Makumbusho ya Taifa ya Oman Mhe. Jamal al-Moosawi akiangalia gofu lenye mnara mrefu alipotembelea Makumbusho ya Kaole mjini Bagamoyo


Mhifadhi wa makumbusho katika Makulbusho ya Kaole mjini Bagamoyo akimuelezea Mtendaji Mkuu wa Makumbusho ya Taifa ya Oman Mhe. Jamal Al-Moosawi historia ya vitu vivyohifadhiwa katika Makumbusho hiyo

![]() |
Balozi wa Oman nchini Mhe. Saud bin Hilal Alshaidani akisoma historia ya watu na mabaki ya vitu mbalimbali vilivyohifadhiwa katika Makumbusho ya Kaole mjini Bagamoyo alipotembelea makumbusho hiyo |
![]() |
Mtendaji Mkuu wa Makumbusho ya Taifa ya Oman Mhe. Jamal al-Moosawi akinawa maji ya kisima maarufu ya kaole alipotembelea makumbusho hayo |
![]() |
Mmoja wa wageni kutoka Makumbusho ya Taifa ya Oman akinawa maji maarufu yanayopatikana katika makumbusho ya kaole mjini Bagamoyo walipotembelea makumbusho hayo mjini Bagamoyo mkoani Pwani |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.