![]() |
Mtendaji Mkuu wa Makumbusho ya Taifa ya Oman Mhe. Jamal al-Moosawi akitembelea magofu ya Makumbusho ya Kunduchi jijini Dar es Salaam alipotembelea makumbusho hiyo |
![]() |
Mtendaji Mkuu wa makumbusho ya Taifa ya Oman Mhe. Jamal al-Moosawi akiangalia mabaki ya magofu yanayopatikana katika Makumbusho ya Kunduchi jijini Dar es Salaam alipotembelea makumbusho hiyo |
No comments:
Post a Comment
Note: Only a member of this blog may post a comment.