Thursday, October 19, 2023

BALOZI ULANGA AKUTANA NA BALOZI WA UBELGIJI

 

 

Mkurugenzi wa Biashara za Kimataifa na Diplomasia ya Uchumi Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi John Ulanga (kulia) akizungumza na Balozi wa Ubelgiji nchini Mhe. Peter Huyghebaert (kushoto) alipomtembelea katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salam.

Mazungumzo yakiendelea

 

Mkurugenzi wa Biashara za Kimataifa na Diplomasia ya Uchumi Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi John Ulanga na ujumbe wake (kulia) akizungumza na Balozi wa Ubelgiji nchini Mhe. Peter Huyghebaert na ujumbe wake (kushoto) walipokutana katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salam.

 
Mkurugenzi wa Biashara za Kimataifa na Diplomasia ya Uchumi Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi John Ulanga amekutana na kuzungumza na Balozi wa Ubelgiji nchini Mhe. Peter Huyghebaert katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salam.

Mazungumzo ya viongozi hao yamelenga kujadiliana na kuangalia uwezekano wa kuimarisha uwekezaji wa makampuni ya Tanzania nchini Ubelgiji na makampuni ya Ubelgiji hapa nchini.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.