Tuesday, September 15, 2015

Balozi Mulamula akutana na Balozi wa Canada hapa Nchini.

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akimkaribisha Balozi wa Canada hapa nchini Mhe. Alexandre Leveque ofisini kwake katika mazungumzo ya kudumisha ushirikiano. 
 Balozi wa Canada hapa nchini Mhe. Alexandre Leveque akisisitiza jambo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula wakati wa mazungumzo hayo, kulia ni Afisa Mambo ya Nje wa Wizara hiyo Bw. Lucas Mayenga akifuatilia mazungumzo hayo.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula, akizungumza na Balozi wa Canada hapa nchini.
Balozi Mulamula akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Canada hapa nchini Mhe. Alexandre Leveque, mara baada ya mazungumzo yao.
=========================
PICHA NA REUBEN MCHOME.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.