Friday, September 18, 2015

Balozi wa Uswisi nchini amtembelea Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje.

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula, akimkaribisha Balozi wa Uswisi hapa nchini Mhe. Florence Tinguely Mattli ofisini kwake kwa mazungumzo ya kuboresha na kuendeleza ushirikiano mwema kati ya nchi hizo mbili. Mazungumzo hayo yalifanyika Wizarani tarehe 18 Septemba, 2015 Jijini Dar es Salaam.
Balozi Liberata Mulamula akisisitiza jambo kwa Balozi wa Uswisi, Mhe. Florence Tinguely wakati wa mazungumzo yao.
 Balozi wa Uswisi nchini, Mhe. Florence Tinguely akizungumza na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula.
Kikao kikiendelea....
 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bi. Mindi Kasiga, akizungumza na Balozi wa Switzerland Mhe. Florence Tinguely muda mfupi kabla ya mkutano huo kuanza.
 Picha ya pamoja kati ya Balozi  Mulamula Balozi  na Balozi  Mattli.
Picha ya pamoja 
========
PICHA NA REUBEN MCHOME.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.