Tuesday, September 29, 2015

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Uturuki nchini

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim (Mb) akisalimiana na Balozi wa Uturuki nchini, Mhe. Yasemine Eralp ambaye alifika Wizarani kwa ajili ya mazungumzo ya kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizi mbili. 
Mhe. Mahadhi  akizungumza wakati wa mkutano wake na Mhe. Eralp.
Mhe. Eralp akizungumza huku Mhe. Mahadhi akimsikiliza
Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Joseph Sokoine (katikati) kwa pamoja na Bw. Adam Isara, Katibu wa Naibu Waziri na Bi. Felister Rugambwa, Afisa Mambo ya Nje wakifuatilia mazungumzo kati ya Mhe. Mahadhi na Mhe. Eralp (hawapo pichani).
Mazungumzo yakiendelea.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.