Tuesday, September 22, 2015

Katibu Mkuu akutana kwa mazungumzo na Naibu Mwangalizi Mkuu wa Uchaguzi kutoka EU

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akimsikiliza  Naibu Mwangalizi Mkuu wa Uchaguzi kutoka Jumuiya ya Ulaya (EU), Bi.Tania Marques alipokuja Wizarani kwa ajili ya mazungumzo kuhusu mipango ya Timu ya Waangalizi kutoka Jumuiya ya Ulaya wakati wa uchaguzi mkuu.
Maafisa Mambo ya Nje wakifuatilia mazungumzo hayo kwa makini. Kushoto ni Bw.Gerald Ngwafu na Bi. Mona Mahecha
Balozi Mulamula (kulia) akizungumza na Bi.Marques
Balozi wa Umoja nchini, Mhe. Filiberto Sebregondi (wa kwanza kushoto) naye akichangia jambo wakati wa mazungumzo hayo.
Mazungumzo yakiendelea

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.