Sunday, October 23, 2016

Rais Magufuli ampokea Mfalme Mohamed VI wa Morocco

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Mfalme H.M Mohammed VI wa Morocco wakati wimbo wa Taifa ukipigwa mara baada ya Mfalme huyo kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. 
Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mfalme Mohamme VI wa Morocco
Mfalme Mohamed VI akipungia wananchi waliojitokeza kumpokea uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.