Monday, October 24, 2016

Rais Magufuli ampokea Mfalme Mohammed VI wa Morocco Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Mfalme Mohammed VI wa Morocco wakipungia mikono wananchi waliojitokeza kwenye mapokezi ya Mfalme huyo Ikulu Jijini Dar es Salaam
Mfalme Mohammed VI wa Morocco akisalimia wananchi waliojitokeza kumpokea Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Mfalme Mohammed VI wa Morocco mara baada ya Mfalme huyo kuwasilia Ikulu Jijini Dar es Salaam

Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Mfalme Mohammed VI wa Morocco wakiwa katika Mazungumzo, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akizungumza katika hafla ya kutoa taarifa ya mazungumzo maalum, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza katika hafla ya kutoa taarifa ya mazungumzo maalum, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.