Tuesday, October 18, 2016

Kongamano la Vijana kuelekea maadhimisho ya miaka 71 ya Umoja wa Mataifa lafanyika

Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy (kulia) akiwa katika Kongamano la Vijana lililofanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam ikiwa ni maadhimisho ya miaka 71 ya Umoja wa Mataifa yatakayofanyika tarehe 24 Oktoba, 2016
Sehemu ya wadau walioshiriki kongamano la vijana kuelekea maadhimisho ya Siku ya Umoja wa Mataifa tarehe 24 Oktoba, 2o16
Vijana wakiwa na mabango yenye ujumbe mbalimbali kuhusu Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDG's) katika Kongamano la Vijana kuelekea maadhimisho ya miaka 71 ya Umoja wa Mataifa
 Balozi  Mushy akiwa na Mkurugenzi Msaidizi katika Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Jestas Nyamanga ( wa pili kulia) wakifuatilia mada mbalimbali zilizowasilishwa wakati wa Kongamano la Vijana
 Watoa mada wakati wa kongamano la vijana

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.