Monday, October 3, 2016

Makamu wa Rais wa Cuba awasili Zanzibar

Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Salvador Valdes Mesa akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Abed Aman Karume, Zanzibar. Mhe. Mesa alipokelewa na Makamu wa Rais wa Pili Mhe. Balozi Seif Ali Iddi. Mhe. Mesa anatarajia kuondoka Zanziba tarehe 4 Oktoba, 2016. 
Mhe. Mesa akikagua gwaride maalum mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Abed Aman Karume Zanzibar


Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein (kulia) akiwa katika mazungumzo na Mhe. Mesa (kushoto) alipomtembelea Ikulu Zanzibar
Rais Mhe.Dkt. Shein akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali na ujumbe wa Mhe. Mesa
Mazunguzo yakiendelea Ofisini kwa Makamu wa Rais wa Pili  wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi.
Makamu wa Rais wa Pili  wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi akiwa katika picha ya pamoja
Makamu wa Rais wa Pili  wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi akiaagana na  Mhe. Nyusi mara baada ya mazungumzo.
Naibu wa Waziri Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Susan Kolimba (wapili kulia) akifuatilia mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea kati ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Mesa (hawako pichani)  


Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika  Balozi Joseph Sokoine akifuatilia mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea kati ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais wa Cuba Mhe. Mesa (hawako pichani)


No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.