Sunday, October 9, 2016

Naibu Waziri apokea hati za utambulisho kutoka kwa Waheshimiwa Mabalozi

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano Mhe. Dkt. Susan Kolimba akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi wa  Jamhuri ya Slovak mwenye makazi yake Nairobi, Kenya Mhe. Frantisek Dlhopolcek, katika ukumbi wa mikutano wa Wizara Jijini Dar es Salaam
Naibu Waziri Mhe. Dkt. Susan Kolimba akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi wa Ukraine mwenye Makazi yake Nairobi, Kenya Mhe. Yevnii Tsymbaliuk Wizarani Jijini Dar es Salaam 
Naibu Waziri Mhe.Dkt. Susan Kolimba akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Ukraine mara baada ya kukabidhi hati ya utambulisho
Naibu Waziri Mhe.Dkt. Susan Kolimba akiwa katika picha ya pomaja na  Balozi wa Ukraine Mhe. Yevnii Tsymbaliuk na Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Marekani  Balozi Joseph Sokoine
Naibu Waziri Mhe. Dkt. Susan Kolimba akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi wa Jamhuri ya Ghana mwenye Makazi yake Nairobi, Kenya Mhe. Kwame Asamoah Wizarani Jijini Dar es Salaam 
Naibu Waziri Mhe. Susan Kolimba akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Ghana mara baada ya kukabidhi hati ya utambulisho. Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Afrika Balozi Samuel Shelukindo.
Wakiwa katika picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

Note: Only a member of this blog may post a comment.